Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu Daniel Chongolo akihutubia wananchi wa Shina namba 3, Tawi la Ntobo A ikiwa ni mkutano wa kwanza wa shina hilo lililopo Kata ya Ntobo, Halmashauri ya Msalala, Wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga.
wananchi wa Shina namba 3, Tawi la Ntobo A wakimsikiliza Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Daniel Chingolo (hayupo pichani) alipokuwa akihutubia katika mkutano wa kwanza wa shina hilo lililopo Kata ya Ntobo, Halmashauri ya Msalala, Wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Daniel Chongolo na Wanachama wengine wakifurahia baada ya kuwekwa jiwe la Msingi katika jengo hilo
Wananchi wakishangilia jambo wakati Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Daniel Chongolo alipokuwa akiwahutubia mara baada ya kuweka jiwe la msingi katika jengo la chama hicho Kata ya Isaka.

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi CCM Ndg. Daniel Chongolo akipata maelezo kutoka Kwa Mganga Mkuu Halmashauri ya wilaya ya Msalala mkoani Shinyanga,Dkt Ernest Chacha, inayojengwa katika Kijiji Cha Ntobo A kata ya Ntobo ambapo serikali imetoa jumla ya shilingi bilioni 1.74 kukamilisha ujenzi huo



Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi CCM Ndg. Daniel Chongolo akipata maelezo kutoka Kwa Mganga Mkuu Halmashauri ya wilaya ya Msalala mkoani Shinyanga,Dkt Ernest Chacha, inayojengwa katika Kijiji Cha Ntobo A kata ya Ntobo ambapo serikali imetoa jumla ya shilingi bilioni 1.74 kukamilisha ujenzi huo.Chongolo yuko katika ziara ya siku 9 akikagua uhai wa chama na miradi ya Maendeleo inayotekelezwa na serikali kupiitia ilani ya CCM ya mwaka 2020- 2025,

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu Daniel Chongolo akimsikiliza kwa makini Mwenyekiti wa Shina namba 3, Tawi la Ntobo A Ndugu John Herman Maige wakati wa mkutano wa kwanza wa shina hilo lililopo Kata ya Ntobo, Halmashauri ya Msalala, Wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga.




Baadhi ya Wananchi na Wanachama wa chama cha CCM wa Shina namba 3, Tawi la Ntobo ,kata ya Ntobo wakifuatilia yaliyokuwa yakijiri nyumbani kwa Mwenyekiti wa Shina namba 3, Tawi la Ntobo A Ndugu John Herman Maige

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu Daniel Chongolo akiondoka kwa Mwenyekiti wa Shina namba 3, Tawi la Ntobo A la Ndugu John Herman Maige (njano) alipomaliza mkutano wake kwanza wa shina hilo lililopo Kata ya Ntobo, Halmashauri ya Msalala, Wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Daniel Chongolo alionesha jambo ndani ya jengo alipokwenda kukagua ujenzi wa kituo cha afya cha Isaka ambacho kimejengwa kwa kiasi cha fedha Shilingi Milioni 50 zilizotolewa na Serikali awamu ya sita inayoongozwa na Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe,Sofia Mjema.
 

Katibu Mkuu wa CCM Ndubu Daniel Chongolo akimsikiliza Mbunge wa jimbo la Msalala Mhe.Iddi Kossi Iddi kabla ya kukagua ujenzi wa kituo cha afya cha Isaka ambacho kimejengwa kwa kiasi cha fedha Shilingi Milioni 50 zilizotolewa na Serikali awamu ya sita inayoongozwa na Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe,Sofia Mjema.
Sehemu ya muonekano wa kituo cha Afya cha Isaka kwa sasa




Baadhi ya wananchi wa Kata ya Isaka wakimsikiliza Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Daniel Chongolo alipokuwa akizungumza na Wananchi hao alipokwenda kukagua ujenzi wa kituo cha afya cha Isaka ambacho kimejengwa kwa kiasi cha fedha Shilingi Milioni 50 zilizotolewa na Serikali awamu ya sita inayoongozwa na Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe,Sofia Mjema.




Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...