Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akimuapisha Dkt. Charles Enock Msonde kuwa Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za MtaaTAMISEMI(Elimu) katika hafla fupi iliyofanyika Ikulu Chamwino Jijini Dodoma tarehe 21 Mei,2022.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akimuapisha Dkt. Maduhu Isaac Kazi kuwa Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi katika hafla fupi iliyofanyika Ikulu Chamwino Jijini Dodoma tarehe 21 Mei,2022.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akimuapisha Balozi John Michael Haule kuwa Kamishna wa Tume ya Utumishi wa Umma katika hafla fupi iliyofanyika Ikulu Chamwino Jijini Dodoma tarehe 21 Mei,2022.


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akimuapisha Immaculata Peter Ngwalle kuwa Kamishna wa Tume ya Utumishi wa Umma katika hafla fupi iliyofanyika Ikulu Chamwino Jijini Dodoma tarehe 21 Mei,2022.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akimuapisha Khadija Ali Mohamed Mbarak kuwa Kamishna wa Tume ya Utumishi wa Umma katika hafla fupi iliyofanyika Ikulu Chamwino Jijini Dodoma tarehe 21 Mei,2022.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akimuapisha Susan Paul Mlawi kuwa
Kamishna wa Tume ya Utumishi wa Umma katika hafla fupi iliyofanyika
Ikulu Chamwino Jijini Dodoma tarehe 21 Mei,2022.

Viongozi mbalimbali walioapishwa Wakila Kiapo cha Maadili kwa Viongozi wa Umma katika hafla iliyofanyika Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma.

Spika wa Bunge Dkt. Tulia Ackson akiwa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Menejimenti ya Utumishi wa Umma na utawala Bora) Jenista Mhagama, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa TAMISEMI Innocent Bashungwa, Waziri wa mambo ya Ndani ya Nchi Hamadi Masauni pamoja na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Hussein Katanga wakiwa katika hafla fupi ya Uapisho wa Viongozi mbalimbali tarehe 21 Mei 2022 Ikulu Chamwino Jijini Dodoma.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Viongozi mbalimbali mara baada ya tukio la Uapisho lililofanyika Ikulu Chamwino Jijini Dodoma tarehe 21 Mei, 2022.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa katika picha ya pamoja na
Viongozi mbalimbali aliowaapisha Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma tarehe 21
Mei, 2022.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...