Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Nape Nnauye akizungumza wakati akifungua kikao cha 17 cha Maafisa Habari, Mawasiliano na Uhusiano wa Serikalini kinachoendelea jijini Tanga.
.jpeg)
Washiriki wa Mkutano wa Maafisa Habari, Mawasiliano na Uhusiano Serikali wakipata maelezo kutoka kwa Afisa Masoko wa UTT AMIS, Oliva Minja walipotembelea dawati la UTT nje ya ukumbi wa mkutano.
Maafisa Habari, Mawasiliano na Uhusiano Serikalini wakiwa katika mkutano.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...