.
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Rosemary Senyamule ameupongeza Mpango wa Kurasimisha Rasilimali na Biashara za Wanyonge Tanzania (MKURABITA) alipokuwa akielezwa na Mtaalamu wa Sheria wa taasisi hiyo, Harvey Kombe kuhusu huduma mbalimbali wanazozitoa kwa wananchi alipotembelea banda hilo katika kilele cha Maonesho ya Kilimo ya Nane Nane Kanda ya Kati jijini Dodoma Agosti 8, 2022

Mkuu wa Kitengo cha Uhusiano na Mawasiliano MKURABITA, Glory Mbilimonyo akitoa maelezo zaidi kwa RC Senyamule kuhusu baadhi ya wananchi walivyonufaika kwa kupata mikopo kupitia hatimiliki za ardhi.


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...