Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (katikati) akiwa katika mazungumzo na Wazee kutoka maeneo ya Tumbatu Gomani, Uvivini, Chwaka na Jongoe, katika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Kaskazini Unguja ikiwa ni utekelezaji wa ahadi yake aliyotoa kwa wazee hao wakati wa ziara alizozifanya hivi karibuni katika Mkoa wa Kaskazini Unguja.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...