Mwenyekiti wa Baraza la Wafanyakazi Sekta ya Uchukuzi, ambaye ni Katibu Mkuu-Uchukuzi, Bw.Gabriel Migire, akizungumza na wajumbe wa baraza (hawapo pichani) wakati akifunga baraza la wafanyakazi Sekta ya Uchukuzi, lililofanyika Jijini Dodoma.


Naibu Katibu Mkuu Sekta ya Uchukuzi, Dk Ally Possi, akizungumza na Wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi (hawapo pichani), wakati wa ufungaji wa baraza hilo, jijini Dodoma.


Mkuu wa Chuo cha Taifa cha Usafirishaji, Profesa Zacharia Mganilwa akichangia mada kuhusu majadiliano ya mpango wa bajeti wa mwaka 2023/2024 wakati wa ufungaji wa baraza la wafanyakazi wa sekta ya Uchukuzi, lililofanyika Jijini Dodoma.


Baadhi ya Wajumbe wa Sekta ya Uchukuzi, wakimsikiliza Katibu Mkuu Bw.Gabriel Migire (hayupo pichani) wakati akifunga baraza la wafanyakazi, lililofanyika Jijini Dodoma.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...