Kampuni ya Meridianbet kila iitwayo siku hufikiria watafanyanini kwaajili ya kuwaunga mkono wanaanchi ambapo hii leowamefika eneo la kawe ambapo linapatikana jeshi la polisi nakuweza kutoa Reflector kwa polisi wa usalama barabarani, hukuRefletor hizo zikipokelewa na mkuu wa kitengo hicho SP-ShattaOCD ndiye aliyepokea vifaa hivyo.

Meridianbet hurudisha kile kidogo wakipatacho kwenye jamiihuku wakielewa umuhimu wao na mahitaji yao kila siku hukusafari hii waliamua kuwamulika polisi Kawe huku wakijua kuwavitawasaidia kwenye shughuli zao za kila siku.

Baada ya kupokea Reflector hizo ASP Rose Maira amesema;"Niwashukuru wenzetu wa Meridianbet kwa kutuletea msaadahuu utakaosaidia Askari katika kutimiza majukumu yao bilauoga hata usiku kwa sababu watakua wanaonekana, katikakuelekea kilele cha wiki ya nenda kwa usalama barabaranimsaada huu umekuja muda muafaka".
Mkuu wa kitengo cha Masoko na mawasiliano Meridianbet Martina Nkurlu amesema kuwa “Tulikuja wiki iliyopita hapakutoa Reflector kwa bodaboda lakini tukaona hata Askari wetuwa usalama barabarani wana changamoto hii, leo tukaamua nawao kuwaletea msaada huu tukiamini katika juhudi zao za kulinda usalama barabarani katika Serikali hii ya Jamhuri yaMuungano wa Tanzania”

Meridianbet wababe wa odds kubwa na kasino ya mtandaoniwaliwatembelea jeshi la Polisi Kawe na kuwapa Reflector kwaajili ya matumizi yao wakiwa barabarani.

Ukiwa na meridianbet unaweza kubashiri mubashara, tembelea maduka ya meridianbet uweze kucheza michezo yasloti na kasino ya mtandaoni.

Beti na Meridianbet mechi za ligi zote, odds ni kubwa sana, usikose pia Kasino ya mtandaoni ya Meridianbet yenyemichezo rahisi ya sloti kama Poker, Aviator, Roulette.

NB: Habari njema kwako, Meridianbet imesikiaombi la wengi imekuja na Jackport kubwa ya mechi 13 kwa dau dogo la kuanzia 1,000/=TZS mshindiatajinyakulia donge nono la Tsh 85,000,000/= PIGA *149*10#

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...