Meneja Matengenezo kituo cha kutunza taarifa cha kampuni ya Vodacom Tanzania mkoani Dodoma, Mhandisi Josiah Kizinda akitoa ufafanuzi namna mitambo inavyofanya kazi kwa wanafunzi wa kike 96 kutoka baadhi ya shule za sekondari zilizoko katika mikoa ya Kanda ya Kati. . Ziara hiyo iliandaliwa na mfuko wa Mawasiliano kwa wote (UCSAF) ili kuwahamasisha wasichana kupenda masomo ya Sayansi na TEHAMA chini ya mpango wa ‘Girls in ICT’ unaoratibiwa na serikali kupitia mfuko huo.
Meneja Matengenezo wa kituo cha kutunza taarifa za kampuni ya Vodacom Tanzania Plc jijini Mbeya, Mhandisi Adamu Mndeme akitoa ufafanuzi namna mitambo inavyofanya kazi kwa wanafunzi wa kike 56 kutoka baadhi ya shule za sekondari zilizoko katika mikoa saba ya Nyanda za Juu Kusini. Ziara hiyo iliandaliwa na mfuko wa Mawasiliano kwa wote (UCSAF) ili kuwahamasisha watoto wa kike kupenda masomo ya Sayansi na TEHAMA chini ya mpango wa ‘Girls in ICT’ unaoratibiwa na serikali kupitia mfuko huo.
Meneja wa Wateja wakubwa katika kituo cha kutunza taarifa cha Vodacom Tanzania Plc jijini Mbeya, Mhandisi Victor Mhina akitoa ufafanuzi namna mitambo yakituo hicho inavyofanya kazi kwa wanafunzi wa kike 56 kutoka shule za Sekondari za Mikoa ya saba ya Nyanda za JuuKusini. Ziara hiyo iliandaliwa na mfuko wa Mawasiliano kwawote (UCSAF) ili kuwahamasisha watoto wa kike kupendamasomo ya Sayansi na TEHAMA chini ya mpango wa ‘Girls in ICT’ unaoratibiwa na serikali kupitia mfuko huo.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...