Mfanyakazi wa Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA), Sawa Ngendabanka akitoa elimu kwa wanachuo wa chuo cha Mzumbe tawi la Tegeta, Dar es Salaam pamoja na kuwahamasisha wanachuo hao kujiunga na masomo ya Uhasibu watakapomaliza masomo ya Chuo.
Mfanyakazi wa NBAA, Humphrey Symphorian akitoa elimu kuhusu kazi zinazofanywa na Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA) kwa wanachuo wa chuo cha Mzumbe tawi la Tegeta jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya wanachuo wa Chuo cha Mzumbe tawi la Tegeta, Dar es Salaam wakiuliza maswali kwa wafanyakazi wa Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA) waliofika chuoni hapo kwa ajili ya kutoa elimu pamoja na kuwahamasisha wanachuo hao kujiunga na masomo ya Uhasibu na Ukaguzi watakapomaliza masomo ya Chuo.
Baadhi ya wanachuo wa Chuo cha Mzumbe tawi la Tegeta, Dar es Salaam wakifuatilia mada zilizokuwa zinatolewa na wafanyakazi wa Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA) waliofika chuoni hapo kwa ajili ya kutoa elimu pamoja na kuwahamasisha wanachuo hao kujiunga na masomo ya Uhasibu na Ukaguzi watakapomaliza masomo ya Chuo.
Mkufunzi wa Chuo Kikuu cha Mzumbe tawi la Tegeta, Dar es Salaam, CPA Nicholaus Massawe akitoa shukrani kwa niaba ya chuo kwa maofisa wa NBAA waliotembelea chuoni hapo kwa lengo la kutoa mafunzo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...